Thursday, October 12, 2017

NANI NI MAHUSUSI KWAAJILI YA PROGRAM YA AKILI YA USHINDI?

Image result for winning mindset pictures
Akili Ya Ushindi Program ni mahususi kwa kila Mtanzania bila kujali kabila,dini au rika kuhakikisha fikra zetu zinabadilika kuona upande mwingine wa shilingi katika kuona fursa,kupata mawazo mazuri ya biashara,kujua ni jinsi gani mtu anaweza kunufaika na biashara yake haswa kwa kuongeza wateja na kuiweka bidhaa yake katika mwonekano ambao utakuwa ni kitambulisho kikubwa cha biashara yake na yeye mwenyewe kwa ujumla.Program hii ni kwaajili ya kila mmoja mwenye misingi hii 3 ;

1. Nidhamu.
Hapa ni kujiheshimu na kuheshimu utakachopokea na utakachotoa kwa wenzako. Bila kusahau kuweza kuhakikisha maarifa na mafunzo mengine ambayo unayapata unachukulia hatua na kushikisha wengine mafanikio yako.

2.Juhudi.
Kujituma kusaidia wengine kwa unachokipata katika program hii bila kusahau kuchukua kwa yale ambayo unafundishwa au unayapata katika program hii.

3. Ushirikiano.
Msingi huu wa tatu ni pamoja na members wa kundi hili kuishi kama kitu kimoja kwa upendo na kushirikishana mambo ambayo yatazidi kutuweka pamoja na sio kutugawanisha.

🏆Kutakuwa na vitabu viwili vya akili ya ushindi ambavyo  vitauzwa vyote kwa sh 26,000/= .AKILI YA USHINDI-Toleo la 1 (BIASHARA NA UJASIRIAMALI) na AKILI YA USHINDI Toleo La 2 (SAFARI YA MAFANIKIO) kwa wewe ambaye umekosa wazo la biashara,umekosa ajira, ambaye uko kwenye ajira na hujui utatumiaje mshahara wako, ambaye bado hujajua kusudi lako au unataka kua mjasiriamali lakini bado hujui unaanzaje, USIKOSE VITABU HIVI VYA (AKILI YA USHINDI) kuanzia mwezi wa huu wa 10 kuanzia tarehe 20. Utakapopata kitabu hichi utakuwa shuhuda wa maisha yako kubadilika na utakuwa nami kwa karibu.

Lazaro Samwel
A Life Coach
0753616584 / 0653386586
Blog;www.lazarosamwel.com
Email; lazarosamweli41@gmail.com



0 comments:

Post a Comment